Habari za Kanisa
HUDUMA ZA BENKI YA MKOMBOZI IPO PAROKIANI
Inafunguliwa saa mbili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni kilasiku za wiki na wikiendi
RATIBA YA MAZISHI YA MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO
kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari kifo cha Mwadhama Polycarp kardinali Pengo kilichotokea tarehe 19 Februari alhamisi saa nne usiku. Hivyo Jumamosi 28 Februari 2026 kutakuwa na kutoa heshima za mwisho kuanzia saa 1:00 hadi saa 3:45 asubuhi na kufuatiwa na misa Takatifu saa 4 asubuhi
RATIBA YA MAZISHI YA MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO
Kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari kifo cha Mhashamu Polycarp Kardinali Pengo kilichotokea tarehe 19 saa nne usiku ratiba ya kumuaga inaanza kwa kutoa heshima za mwisho ijumaa 27 Februari 2026 saa 3:15 asubuhi hadi saa 9:30 jioni ikifuatiwa na misa Takatifu na mkesha wa Sala na maombolezo
KUMBUKIZI YA MT BLASI
kumbukizi ya Mt Blasi ibada ya shingo kutolewa waamini mnakumbushwa kuhudhuria misa
KUTOLEWA BWANA HEKALUNI
Kutolewa Bwana Hekaluni Waamini kuhudhuria misa na kubeba mishumaa
HIJA PUGU
Jimbo la Dar es salaam linawakaribisha wote kuhudhuria kumbukumbu ya wamisionari waliouawa Pugu Misa saa 3 asubuhi pia kutakuwa na hitimisho mwaka wa jubilei kuu Jiandikishe ofisini Kwa sista mwisho Alhamisi
MAASKOFU TANZANIA WALAANI MAUAJI YA KIKATILI NA KINYAMA YA VIJANA&WATU WENGI
Mauaji ya kabla, wakati na baada ya uchaguzi
ASKOFU MKUU KATIKA MISA YA KUMBUKIZI YA MISA YA MAUAJI YA UCHAGUZI
Askofu mkuu misa ya kuwakumbuka marehemu waliouawa kwenye uchaguzi
MAVUNO KIPAROKIA NA KIJIMBO 2026
Utaratibu mpya wa Mavuno yatakusanywa ngazi ya familia ikitanguliwa na Misa Takatifu kifamilia sio kijumuiya. Familia i…
Tazama Maelezo
MISA YA WAWATA SHUKRANI KIJIMBO
Misa ya shukrani ya Wawata itafanyika St Joseph kuanzia saa tatu asubuhi Jumamosi Tarehe 17 Wawata wavae sare za vite…
Tazama Maelezo