Rudi
Habari
SEMINA YA UPONYAJO NA KUFUNGULIWA

SEMINA YA UPONYAJO NA KUFUNGULIWA

Imechapishwa na: Erica Lello
Imechapishwa: Machi 1, 2026
Location: Parokia ya Mt Gaspar Del Bufalo
Semina ya uponyaji na kufunguliwa Karismatiki katoliki parokia ya Mt Gaspar Del Bufalo mbezi Beach wanakualika kwenye semina hii itakayoongozwa na Fr Patrice Ndemasi, Fr Dennis Massawe na Mwl. Stella Mrema. Itanza saa 9 alhasiri hadi saa 12 jioni, tarehe 6 -15 Machi, 2026 Nyote mnakaribishwa.

Maelezo Zaidi

Semina ya uponyaji na kufunguliwa Karismatiki katoliki parokia ya Mt Gaspar Del Bufalo mbezi Beach wanakualika kwenye semina hii itakayoongozwa na Fr Patrice Ndemasi, Fr Dennis Massawe na Mwl. Stella Mrema. Itanza saa 9 alhasiri hadi saa 12 jioni, tarehe 6 -15 Machi, 2026 Nyote mnakaribishwa.

SEMINA YA UPONYAJO NA KUFUNGULIWA