Rudi
Habari
SIKU YA WAGONJWA NA WAHUDUMU WA AFYA DUNIANI

SIKU YA WAGONJWA NA WAHUDUMU WA AFYA DUNIANI

Imechapishwa na: Erica Lello
Imechapishwa: Februari 13, 2026
Location: Parokia ya Mt Gaspar Del Bufalo
Kuelekea Siku ya wagonjwa na wahudumu wa Afya duniani Kumbukizi ya Bikira Maria w Lurdi tunaombwa na kanisa katoliki Tanzania kuchangia damu ili kuokoa maisha Jumapili tarehe 8 ni siku ya kuchangia damu na jumatano tarehe 11 ni siku ya kuwaombea wagonjwa na wahudumu wa Afya misa maalum Saa 4 asubuhi Wazee na wagonjwa waletwe kanisani na pia mwenye matendo ya huruma alete kabla ya siku hiyo.

Maelezo Zaidi

Kuelekea Siku ya wagonjwa na wahudumu wa Afya duniani Kumbukizi ya Bikira Maria w Lurdi tunaombwa na kanisa katoliki Tanzania kuchangia damu ili kuokoa maisha Jumapili tarehe 8 ni siku ya kuchangia damu na jumatano tarehe 11 ni siku ya kuwaombea wagonjwa na wahudumu wa Afya misa maalum Saa 4 asubuhi Wazee na wagonjwa waletwe kanisani na pia mwenye matendo ya huruma alete kabla ya siku hiyo.

SIKU YA WAGONJWA NA WAHUDUMU WA AFYA DUNIANI