Rudi
Habari
MAFUNGO KUOMBEA HAKI NA AMANI TANZANIA

MAFUNGO KUOMBEA HAKI NA AMANI TANZANIA

Imechapishwa na: Church Administration
Imechapishwa: Agosti 23, 2025
Location: KANISA KATOLIKI TANZANIA
Mafungo haya ni Kwa masaa 24 Kanisa likisali na kumuomba Mungu mchana na usiku mbele ya Ekaristi Takatifu na maungamo yakiendelea. Kwa zamu za makundi. Kadiri ya Parokia ilivyopanga. Misa Takatifu ikifungua mafungo na ikiitimisha mafungo hayo. Nia kuu ni kuombea HAKI na AMANI TANZANIA.

Maelezo Zaidi

Mafungo haya ni Kwa masaa 24 Kanisa likisali na kumuomba Mungu mchana na usiku mbele ya Ekaristi Takatifu na maungamo yakiendelea. Kwa zamu za makundi. Kadiri ya Parokia ilivyopanga. Misa Takatifu ikifungua mafungo na ikiitimisha mafungo hayo.

MAFUNGO KUOMBEA HAKI NA AMANI TANZANIA

© 2025 Klabu ya St. Gaspar Viwawa. Haki zote zimehifadhiwa.